Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Duh! Kweli mapenzi ni kama daladala ukishuka wenzako wanapanda
Ushuhuda wa kweli. . . . ?Usidhani washamba ni kutoka shamba tu, hata hapa mjini tunao kibao!! so no wonder. Wem Sepetu hamna kitu, amebakia na figa ya kimodel tu, lakini ile K maji matupu hamna kitu, trust me nakupa ushuhuda wa kweli.
Kuwa mpenzi wa Wema unatakiwa uwe ni shabiki wa arsenal kwanza uwe umekubuhu kwenye uvumilivu. pia waone Jumbe, Kanumba and the like of Diamond wakupe semina elekezi.
Punguza matuc kwa mtt wa mwenzako na hiyo sio sifa ya mwanaume kamil ukipewa huna haja ya kutangaza udhaifu wamwenzio utajisikiaje ukiambiwa mzazi wako wa kike kakuzaa ww na maji au dada ako maji tu,acha maneno ya kijiweni kulikuwa hakuna haja ya kusema kitu hakikusaidii kitu na wale yy ahalibikiwi kitu be gentlemanUsidhani washamba ni kutoka shamba tu, hata hapa mjini tunao kibao!! so no wonder. Wem Sepetu hamna kitu, amebakia na figa ya kimodel tu, lakini ile K maji matupu hamna kitu, trust me nakupa ushuhuda wa kweli.
bwahahahah arifu aiseeeeeKuwa mpenzi wa Wema unatakiwa uwe ni shabiki wa arsenal kwanza uwe umekubuhu kwenye uvumilivu. pia waone Jumbe, Kanumba and the like of Diamond wakupe semina elekezi.
Usidhani washamba ni kutoka shamba tu, hata hapa mjini tunao kibao!! so no wonder. Wem Sepetu hamna kitu, amebakia na figa ya kimodel tu, lakini ile K maji matupu hamna kitu, trust me nakupa ushuhuda wa kweli.
Mtumie msg hapo na vocha ya shilling 50,000= atarespond PM yako.Wadau nilikuwa nikiangalia kipindi cha mkasi cha salama j. kiukweli nimevutiwa sana na wema maana the girl is so confident and very open kuhusu life lake, nimeangalia hadi nikamfananisha na kim kardashian how sexy and confident she is. how can i get her jaman mwenye kujua namna ya kumpata plzzzz
Wadau nilikuwa nikiangalia kipindi cha mkasi cha salama j. kiukweli nimevutiwa sana na wema maana the girl is so confident and very open kuhusu life lake, nimeangalia hadi nikamfananisha na kim kardashian how sexy and confident she is. how can i get her jaman mwenye kujua namna ya kumpata plzzzz
hivi kweli unamwita mwenzako makombo kwa habari zake ulizozisikia, kwa hiyo wewe ni fresh yani kama samaki ndo umetoka kuvuliwa baharini muda huu.Wema ni makombo ambayo hata ukiyamwagia mchuzi mbwa hali
hahahahahahahahah, raha ya kitu anajua anayekitumia.wapi wewe wenzako ndo tunapenda hayo maji . Hujui burudani wewe .