Nasikia huyu mwanamke ana watoto watatu wakubwa...leo ni birthday ya mtoto mmojawapo....View attachment 216817
Tukubali tukatae, mwisho upo. If so, huu mwisho ukoje na nini kitaendelea? Just thinking aloud
View attachment 216817
Tukubali tukatae, mwisho upo. If so, huu mwisho ukoje na nini kitaendelea? Just thinking aloud
Nasikia huyu mwanamke ana watoto watatu wakubwa...leo ni birthday ya mtoto mmojawapo....
Mi wangu hakuna aujuaye kwa kuwa sina umaarufu kama mwenzetu. So nikawa najiuliza tu itakuwa vipi. We unaonaje kwani. Au Wema atarudi?Jadili mwisho wako kwanza kabla ya kujadili mwisho wa wenzio! au wewe huna mwisho? mwanga mkubwa wewe!
Jadili mwisho wako kwanza kabla ya kujadili mwisho wa wenzio! au wewe huna mwisho? mwanga mkubwa wewe!
Jadili mwisho wako kwanza kabla ya kujadili mwisho wa wenzio! au wewe huna mwisho? mwanga mkubwa wewe!
dada yako...
Nasikia huyu mwanamke ana watoto watatu wakubwa...leo ni birthday ya mtoto mmojawapo....
kwa nini anazurura na diamond anaacha watoto...they deserve motherly love...so what......?
Hakuna next
tunasubiria reality tv show yao
nitanunua kwa bei yoyote zoteeeee na kuweka nyumbani na kwa tv sitakosa mie zikianza kuonyeshwa.
Mdio muda wao wakutengeneza pesa now