Wanabodi
KATIKA KAMPENI ZA CHADEMA UCHAGUZI MDOGO WA DARAJA 2 LEO ENEO LA KWA KIBOKO MTAA WA JAMUHURI
Kamanda Godbless Lema ameeleza maelfu waliohudhuria kampeni hizo kuwa Chama Cha Mapinduzi wampanga kwa kushirikiana na watu wengine kuchonga funguo ( Master Key) za ofisi yake ( ofisi ya mbunge - Arusha mjini) maana funguo zipo mahakamani na kufungua ofisi na kuweka silaha pamoja na madawa ya Kulevya na baada ya hapo kumuhisi Lema ni mwizi wa kutumia silaha pamoja na madawa ya Kulevya Polisi wamkamate Lema na kumuweka chini ya ulinzi wakapekue nyumbani kwake wakikosa Askari mmoja atoe wazo kwamba tuende kwenye ofisi yake ya zamani maana funguo zipo mahakamani. Wakienda wakute silaha na madawa ya kulevya basi kwa kufanya hivyo kwanza watakuwa wamevuruga harakati nzima za ukombozi pamoja na uchaguzi unaoendelea na kamanda apelekwe ndani CCM wapate hoja ya kuwaambia wananchi maana sasa hali yao ni mbaya kweli daraja 2 na Bangata za hapa Arusha.
Kamanda Lema ameeleza wanaohusika ni wanaccm, maofisa wa serikali pamoja na Katibu wake wa zamani GERVAS Mgonja
LEMA AMEMALIZA KWA KUSEMA KUWA MTU ANAPOPIGANIA HAKI MUNGU PEKEE NDIYE ANAMLINDA
Naomba kuwasilisha wakuu
Source: Mimi mwenyewe nilikuwepo
KATIKA KAMPENI ZA CHADEMA UCHAGUZI MDOGO WA DARAJA 2 LEO ENEO LA KWA KIBOKO MTAA WA JAMUHURI
Kamanda Godbless Lema ameeleza maelfu waliohudhuria kampeni hizo kuwa Chama Cha Mapinduzi wampanga kwa kushirikiana na watu wengine kuchonga funguo ( Master Key) za ofisi yake ( ofisi ya mbunge - Arusha mjini) maana funguo zipo mahakamani na kufungua ofisi na kuweka silaha pamoja na madawa ya Kulevya na baada ya hapo kumuhisi Lema ni mwizi wa kutumia silaha pamoja na madawa ya Kulevya Polisi wamkamate Lema na kumuweka chini ya ulinzi wakapekue nyumbani kwake wakikosa Askari mmoja atoe wazo kwamba tuende kwenye ofisi yake ya zamani maana funguo zipo mahakamani. Wakienda wakute silaha na madawa ya kulevya basi kwa kufanya hivyo kwanza watakuwa wamevuruga harakati nzima za ukombozi pamoja na uchaguzi unaoendelea na kamanda apelekwe ndani CCM wapate hoja ya kuwaambia wananchi maana sasa hali yao ni mbaya kweli daraja 2 na Bangata za hapa Arusha.
Kamanda Lema ameeleza wanaohusika ni wanaccm, maofisa wa serikali pamoja na Katibu wake wa zamani GERVAS Mgonja
LEMA AMEMALIZA KWA KUSEMA KUWA MTU ANAPOPIGANIA HAKI MUNGU PEKEE NDIYE ANAMLINDA
Naomba kuwasilisha wakuu
Source: Mimi mwenyewe nilikuwepo