Azam wafundisheni mabondia jinsi ya kuwa watanashati

KENGE 01

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
1,592
3,839
Anaandika Kenge,

JMT: Kazi iendelee.

Kwanza tuwapongeze Azam kwa jitihada wanazofanya kwenye sekta nzima ya sanaa, Burudani na Michezo kwa ujumla.

Wakati huko Duniani (Wazungu) Mabondia kama Antony Joshua, Uysk, Maywether n.k wanatumia nafasi ya Face Off (Kupima Uzito) kutangaza brand zao mfano mabondia walioingia mikataba na NIKE, PUMA, ADIDAS n.k wanatumia iyo nafasi kubrand boksa na mavazi ya kampuni hizo walizo na ubia, huku kwetu hali imekua tofauti.

Kenge na wadau wengine wapenda michezo ya ndondi tunaumia sana kuona Bondia kaja kwenye Face Off mchafu mchafu, nywele za ikulu hawanyoi, bondia anakuja kavaa ndala (kandambili za bata) kama anaenda chooni. Hivi Azam/Promota mmeshindwa kuwatrain hawa mabondia wetu kweli?

Mwaka jana Bondia X (Jina kapuni) alikuja kwenye Face-Off na boksa imechakaa na kuchanika, ukiangalia kwapani nywele hazijanyolewa. Wala siyo ujanja, ugumu, usela ni uchafu! Ule ni uchafu. Nasema uongo wakuu?

Hivi nyie Azam, na siyo Azam tu hata hao Makocha wa mabondia kwanini wasiwawekee sheria kali mabondia juu ya kuzingatia suala la usafi?

S/O kwa bondia wasafi wote kwangu mimi kuna K.Mandonga, Twaha Kiduku, Cosmas Cheka pia bondia wa kike wanajitahidi sana kuwa wasafi na wengine wanaojitahidi usafi hongereni sana.

Bado tunasafari ndefu.

Nawasilisha.

CC KENGE 01 View attachment 2497672
IMG-20230127-WA0002.jpg
 
Lawama msiwape Azam lawama ziende kwa hao ma promoter wao ambao bao ni kama walanguaji/madalali ambao wao ndio wanaowatafutia mapambano na kukubaliana na Azam kurusha matangazo na hela watakazo lipwa kwa pambano kurushwa live.

Hao jamaa ndio wanaowanyonya hawa watu maana unaweza kukuta pambano linafuatuliwa na watu wengi viingilio mamilioni ya hela na bado Azam hajalipia haki za matangazo live.

Mwisho wa siku utakuja kukuta promoter ni milionea lakini anaechezea vitasa ulingoni ndio amevaa malapa yaliyotoboka kisigino.

Hawa ma promoter wa kibongo wameshaona deal sana na ndio maana kuna mwamko wa ngumi hapa bongo kwakuwa watu (Azam+promoters) wanapiga hela ndefu sana kupitia hawa mabondia lakini wana wanyonya sana

Shida nyingine ni hawa mabondia kutokuwa na elimu na kukosa legal and financial counsel unakuta yeye analetewa mkataba tu akiona laki tano anakubali bila kuelewa mchakato mzima kuanzia promoter, TV, mashabiki umeendaje.

Wajitahidi wapate washauri kwenye masuala haya la sivyo watakuja kufa kwa dimentia uswahili wakati ma promoter wao wakila maisha na familia zao huko Santorini.
 
Lawama msiwape Azam lawama ziende kwa hao ma promoter wao ambao bao ni kama walanguaji/madalali ambao wao ndio wanaowatafutia mapambano na kukubaliana na Azam kurusha matangazo na hela watakazo lipwa kwa pambano kurushwa live.

Hao jamaa ndio wanaowanyonya hawa watu maana unaweza kukuta pambano linafuatuliwa na watu wengi viingilio mamilioni ya hela na bado Azam hajalipia haki za matangazo live.

Mwisho wa siku utakuja kukuta promoter ni milionea lakini anaechezea vitasa ulingoni ndio amevaa malapa yaliyotoboka kisigino.

Hawa ma promoter wa kibongo wameshaona deal sana na ndio maana kuna mwamko wa ngumi hapa bongo kwakuwa watu (Azam+promoters) wanapiga hela ndefu sana kupitia hawa mabondia lakini wana wanyonya sana

Shida nyingine ni hawa mabondia kutokuwa na elimu na kukosa legal and financial counsel unakuta yeye analetewa mkataba tu akiona laki tano anakubali bila kuelewa mchakato mzima kuanzia promoter, TV, mashabiki umeendaje.

Wajitahidi wapate washauri kwenye masuala haya la sivyo watakuja kufa kwa dimentia uswahili wakati ma promoter wao wakila maisha na familia zao huko Santorini.
Azam wao ni watu wa Media sindio? Sasa si wao ndo wanahusika na physical appearance ya Watu wanaotegemea kuwamulikwa na CAMERA? Ivyo wao ndo wawajibike mbona presenter wao wanapendeza
 
Azam wao ni watu wa Media sindio? Sasa si wao ndo wanahusika na physical appearance ya Watu wanaotegemea kuwamulikwa na CAMERA? Ivyo wao ndo wawajibike mbona presenter wao wanapendeza
Hao sio wafanyakazi wao hivyo hawawezi kuwapangia wavae nini labda kama watawavalisha wao. Presenter ni mfanyakazi na anavalishwa na kampuni kwaajili ya appearence mbele ya screen
 
wana maana yao wape koneksheni sio kila mtu mjinga huwezi kujua mapungufu ya wenye kazi jifunze kwa mandonga kama tunaelewa tuelekeze tusilaumu fulustopu shubamiti,
 
Anaandika Kenge,

JMT: Kazi iendelee.

Kwanza tuwapongeze Azam kwa jitihada wanazofanya kwenye sekta nzima ya sanaa, Burudani na Michezo kwa ujumla.

Wakati huko Duniani (Wazungu) Mabondia kama Antony Joshua, Uysk, Maywether n.k wanatumia nafasi ya Face Off (Kupima Uzito) kutangaza brand zao mfano mabondia walioingia mikataba na NIKE, PUMA, ADIDAS n.k wanatumia iyo nafasi kubrand boksa na mavazi ya kampuni hizo walizo na ubia, huku kwetu hali imekua tofauti.

Kenge na wadau wengine wapenda michezo ya ndondi tunaumia sana kuona Bondia kaja kwenye Face Off mchafu mchafu, nywele za ikulu hawanyoi, bondia anakuja kavaa ndala (kandambili za bata) kama anaenda chooni. Hivi Azam/Promota mmeshindwa kuwatrain hawa mabondia wetu kweli?

Mwaka jana Bondia X (Jina kapuni) alikuja kwenye Face-Off na boksa imechakaa na kuchanika, ukiangalia kwapani nywele hazijanyolewa. Wala siyo ujanja, ugumu, usela ni uchafu! Ule ni uchafu. Nasema uongo wakuu?

Hivi nyie Azam, na siyo Azam tu hata hao Makocha wa mabondia kwanini wasiwawekee sheria kali mabondia juu ya kuzingatia suala la usafi?

S/O kwa bondia wasafi wote kwangu mimi kuna K.Mandonga, Twaha Kiduku, Cosmas Cheka pia bondia wa kike wanajitahidi sana kuwa wasafi na wengine wanaojitahidi usafi hongereni sana.

Bado tunasafari ndefu.

Nawasilisha.

CC KENGE 01 View attachment 2497672View attachment 2497673
Huyo mwenye malapa mekundu amevaa kofia kama ya mtoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom