Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
SIMBA NA AL AHLY WOTE WABOVU
Kwa uchambuzi wangu mechi ya Jana ..... tittle ni walicheza sio waliocheza
"Al Ahly na Simba wote wabovu, Yanga akicheza na Simba dakika 45, anamfunga Simba na akicheza na Al Ahly dakika 45, anamfunga Al Ahly, kwa makosa aliyofanya Al Ahly angekuwa anacheza na Yanga, Al Ahly angefungwa goli 3-0, Azam FC walicheza vizuri kuliko Al Ahly, tutaanza kucheza na Simba tuwaonyeshe ubovu wao kisha tutaenda kucheza na Al Ahly tuwaonyeshe ubovu wao"
NB: kama Azam angecheza na Al ahly basi Al hly angepasuka za kutosha
Kwa uchambuzi wangu mechi ya Jana ..... tittle ni walicheza sio waliocheza
"Al Ahly na Simba wote wabovu, Yanga akicheza na Simba dakika 45, anamfunga Simba na akicheza na Al Ahly dakika 45, anamfunga Al Ahly, kwa makosa aliyofanya Al Ahly angekuwa anacheza na Yanga, Al Ahly angefungwa goli 3-0, Azam FC walicheza vizuri kuliko Al Ahly, tutaanza kucheza na Simba tuwaonyeshe ubovu wao kisha tutaenda kucheza na Al Ahly tuwaonyeshe ubovu wao"
NB: kama Azam angecheza na Al ahly basi Al hly angepasuka za kutosha