Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,846
- 6,439
Acha kuropoka usio yajua..wameonyesha live toka colloseum..kupitia alasiri lounge..usiropoke usio yajuaHawa nao kijani, mbona hawaonyeshi mkutano wa Colloseum
Acha kuropoka usio yajua..wameonyesha live toka colloseum..kupitia alasiri lounge..usiropoke usio yajuaHawa nao kijani, mbona hawaonyeshi mkutano wa Colloseum
Live kupitia alasiri lounge.....ndio nini....unajielewa kweli wewe.Acha kuropoka usio yajua..wameonyesha live toka colloseum..kupitia alasiri lounge..usiropoke usio yajua
Live kupitia alasiri lounge.....ndio nini....unajielewa kweli wewe.
wewe ni juha na hujitambui....nakupotezea tu sio level yangu.Mkishiba futari mna jamba jamba tu..we umeuliza kuhusu ukawa kurushwa live nimekujibu bado unawashwa tu?
wewe ni juha na hujitambui....nakupotezea tu sio level yangu.
Kwani si wadai wao ndio wenye dora sasa TBC si ihabarishe umma? Malipo ni ruzuku wanazopewaIncase hukujua,
Hawaoneshi bure!!
Wakuu habari zenu
Jana nimekuta mtu mmoja anatafuta king'amuzi cha Azam TV wakati ana kingine startimes sikupata jibu leo nimepata, pamoja na CCM kutangaza kumtambulisha mgombea mteule wao leo, Ni azam two pekee imerusha matangazo ya papo (LIVE) kutoka Mbagala Zhakeem. Media nyingine wapo na mambo yao tu kama hawajui wateja wao wanakimbia kwani katika local channel Azamtv haimo huwezi kuwapata bila king'amuzi chao. Ni muda wa kumpa hongera Tido Muhando kwa ubunifu wake hakika ataipaisha sana media hiyo.
Kwani huoni na kauli yao ni kituo cha uchaguziUmetumwa kuipaisha AZAM TV
Acha kuropoka usio yajua..wameonyesha live toka colloseum..kupitia alasiri lounge..usiropoke usio yajua
Asikusumbue mkuu,mbali na Alasir Lounge,muda huu wameunga live na kuonge na msemaji wa Chedema moja kwa moja,na pia Magdalena Sakaya alikuwa live AZAM TV studio.
Kwa Taarifa yake ni kwamba Mkutano wa UKAWA umevurugika,Profesa Lipumba ametoka na kuenda kwenye mkutano wa chama chake cha CUF ambapo kuna msuguano wa maamuzi ya kuachiana majimbo.
Na Mkutano wa UKAWA bado upo siri,ila AZAM Tv wapo pale muda wote in full live coverage.
AZAM TV habari nyingine kabisa,usiwapimie
Pia wamepata haki ya kuonesha la liga
Bei ya king'amuzi cha Azam Tv kiasi gani?
Hata wewe Fukara unaweza kununua ni Tsh: 99,000
Azam hatutumi Antenna sie,tupo kisasa zaidi ni DISH
Maana Antena zinaleta RADI,
AZAM inawajali wateja wake