Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,759
Hawa jamaa tunawagonga. Miaka kadhaa mfululizo wamekuwa mdebwedo sana kwetu. Tunawajua na wanatujua. TUNAJUANA. hawana sababu ya kutunyima ubingwa. Niaminini mimi.
Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.
Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3.
Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.
Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3.