Azam FC mtoeni Dube kama mlivyomchukua Fei

Kama ungekuwa na loopholes TFF wasingeshindwa kumhamisha na Azam wasingejificha kumtaka Fei. Mbona hawakwenda CAF Wala cas? Ukweli njia ileile iliyotumika kutatua tatizo la Fei lazima itumike kwa dube pia; presidency. Fei mtanzania alisaidiwa na Rais, je, dube mzimbabwe atasaidiwa na nani kwenye shida inayofanana na ya Fei? Busara na maagizo vitumike.
Utopolo Kuna viazi hamna mwenye akili hata mmoja unajidhalilisha IQ ndogo
 
Iyo ni janja tu ya Azam kutisha watu kwakua Dube anaujua ukweli na Tff wanajua ukweli.

Tff Wana nakala za mikataba ya wachezji wote na wanahifadhi wao.
Wanao mtaka prince pia wamesha usoma mkataba wote na kwasasa Wana angalia mchezo unavyokwenda.
Sema hujui tu imepatikanaje na usiseme janja janja
 
najiuliza, kweli thamani ya Prince M Dube ni USD 300,000 ( TZS 765 Milioni)?

Hii imepimwaje?

Mwenye ufahamu anijuze
Sidhani kama kigezo kilichotumika ni thamani ya mchezaji

Nadhani ni kama masharti tu ambayo yaliwekwa na kukubalika na pande zote mbili.

Hii inatokana na Club kuepusha kumkosa mchezaji katikati ya msimu akiwa bado anamuhitaji, hivyo Club inaamua kuweka dau kubwa kwenye kuvunja mkataba ili ikitokea mchezaji anataka kuondoka asubiri mpaka mwisho wa mkataba wake.

Means hata Azam wangemvunjia mkataba wangelipa kiasi hicho hicho.

Saizi inaonekana sio fair ni kwasababu imetokea upande wa mchezaji.
 
Daah!! kumbe ushabiki umekujaa, hebu jiondoe kwenye ushabiki kwanza mwanangu narudia " unapomsaini mchezaji unakuwepo mkataba wenye kuonesha mambo mengi tu, mshahara, nyumba, bima, kama ni mchezaji wa kigeni ndio basi tena mtaenda mpaka dakika za kucheza uwanjani nk nk lkn kuna kuwepo kipengere cha kuvunja mkataba, hakuna mkataba usiovunjwa, katika mkataba lazima mweke thamani ya mchezaji na mchezaji mwenyewe aijue mfano mdogo pacome kwa sasa ana bei gani kama timu ikitaka kumchukua unaweza kukuta ni dola laki moja, sasa kama ni hivyo inategemea na msimu mfano sasa hivi dirisha limefungwa hakuna timu inaruhusiwa kuongea na mchezaji ili kuhama kinachofanyika ni timu x inampa mchezaji hiyo hela ya thamani yake + mishahara ya miezi 3 mbele mchezaji analipa club yake anasepa na hutasikia ameenda timu fulani mpaka dirisha la usajili kwa sababu kukwepa rungu la FIFA hiki ndicho kilichotokea kwa fei yaan fei alikuwa na thamani ndogo yaan m 100 sasa azam thamani ya dube ni dola laki 3 kama anayo alipe asepe hapo ndio mtiti 😅 na kama kuna timu nyuma ya pazia inamuhitaji imsaidie dola laki 3 kimya kimya asubiri dirisha ajiunge nao.
Sio kweli hiyo, unataka kusema TFF na vyombo vyake ni mbumbu kiasi cha kuhindwa kulimaliza sakata la Fei TOto? sio swala la kulipa tu na kuchukua mchezaji, ingekuwa hivyo swala la fei lisingeamuliwa na Rais wa nchi. Hakuna mchezaji hapo wa 700m labda unataka kukomoa mchezaji. Hata Yanga iliwaita ofisi wale wote waliokuwa wakimtaka Fei ili wawape bei halisi ya fei lakini walikwepa na kukimbilia kwa Rais wa nchi. Fei alikaa nje mtaani hadi kiwango chake kikashuka. mara hii ni zamu ya Dube na Azam, should we expect the same to happen from the president? Wisdom should continue to prevail.
 
najiuliza, kweli thamani ya Prince M Dube ni USD 300,000 ( TZS 765 Milioni)?

Hii imepimwaje?

Mwenye ufahamu anijuze
Kama mkataba wa Dube ungekuwa hivyo US3000 wakala wake asingekubali Dube atie sahihi. Mkataba kama huo maana yake mchezaji angekuwa analipwa TZS 100,000,000 kila mwezi.
 
Kucheza chini ya kiwango kwa makusudi ni kuihujumu timu.

Inapothibitika kwa hakika kuwa umeihujumu timu lazima uchukuliwe hatua katika mamlaka za soka.
Hakuna kipimo duniani cha kupima kiwango cha maumivu anayojisikia mtu. Donald aligoma kucheza Yanga kwa kudai kuwa anaumwa, Morrison anasema anaumwa na hakuna mtu wa kumwambia hapana huumwi, hakuna wa kumlazimisha acheze. Dk hana uwezo wa kusema huumwi. Dube akisema anaumwa hakuna wa kumwambia huumwi, sanasana ama utamruhusu tu aondoke au mtabakisha na kuendelea kumlipa bila kucheza.
 
Sidhani kama kigezo kilichotumika ni thamani ya mchezaji

Nadhani ni kama masharti tu ambayo yaliwekwa na kukubalika na pande zote mbili.

Hii inatokana na Club kuepusha kumkosa mchezaji katikati ya msimu akiwa bado anamuhitaji, hivyo Club inaamua kuweka dau kubwa kwenye kuvunja mkataba ili ikitokea mchezaji anataka kuondoka asubiri mpaka mwisho wa mkataba wake.

Means hata Azam wangemvunjia mkataba wangelipa kiasi hicho hicho.

Saizi inaonekana sio fair ni kwasababu imetokea upande wa mchezaji.
Kaka subiri msimu huu utamatike ndo utajua kama mkataba wake una US3000 au ngapi. Dube na wanaomtaka dude sio wjinga, lazima wanaujua ukweli wote kuhusu mkataba wake.
 
Mchezaji Hana furaha kucheza Azam, wale wachambuzi, mawakala na wanasheria waliokuwa wanamtetea Fei wako wapi kwenye hili? maana yanafanana kabisa. Vinginevyo mchezaji atakaa na kulipwa kwa misimu 2 bila kucheza.
Kwa hiyo kama mchezaji akisema hana furaha kuchezea timu fulani ndio aachiwe bila kufuata taratibu za kimkataba?. Fei toto mbona alisema hivyo hivyo na bado mkamng'ang'ania?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kama ungekuwa na loopholes TFF wasingeshindwa kumhamisha na Azam wasingejificha kumtaka Fei. Mbona hawakwenda CAF Wala cas? Ukweli njia ileile iliyotumika kutatua tatizo la Fei lazima itumike kwa dube pia; presidency. Fei mtanzania alisaidiwa na Rais, je, dube mzimbabwe atasaidiwa na nani kwenye shida inayofanana na ya Fei? Busara na maagizo vitumike.
Hujui unachoandika, kinacho matter hapa sio suala la Fei kusaidiwa na nani, na Dube asainiwe na nani..

Kinacho matter hapa ni mambo ya terms za kwenye mkataba, ukisema suala la Fei na Dube yanafanana, una hakika terms za kwenye mikataba ya hao wachezaji wawili zinafanana? unataka kusema tukichukua mkataba wa Fei na Yanga utakuwa unafanana kila kitu na huu wa Dube na Azam?

Hili haliwezekani, namaanisha halipo, na kwasababu halipo, ndio maana ninawaambia wewe na wenzako muache huu utoto mnaofikiria, na ninajua pia, inawezekana huyo jini aliyemtuma Dube kuanzisha hili zogo ana akili mbovu kama zenu, anachowaza yeye ni kutaka kulipa kisasi kwa Azam tu, asijue kama terms za kwenye mkataba wa Dube na Azam zinawawezesha nyie kulipa hicho kisasi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mchezaji Hana furaha kucheza Azam, wale wachambuzi, mawakala na wanasheria waliokuwa wanamtetea Fei wako wapi kwenye hili? maana yanafanana kabisa. Vinginevyo mchezaji atakaa na kulipwa kwa misimu 2 bila kucheza.
Unaonekana mweupe sana, hapa suala sio mchezaji hana furaha, hata mimi ninaweza kumtongoza mwanamke mke wa mtu nikamvuruga akili akakosa amani kwa mumewe, lakini kama huyo mwanamke ana ndoa halali na mumewe sitaweza kumpata hata kama atakuwa hana hiyo furaha.

Hope unanielewa na makanjanja wenzio.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kama mkataba wa Dube ungekuwa hivyo US3000 wakala wake asingekubali Dube atie sahihi. Mkataba kama huo maana yake mchezaji angekuwa analipwa TZS 100,000,000 kila mwezi.
Hapo kwenye USD mkuu ongeza 00. Hawa Azam hawataki kijana aondoke, ni kama wanamukea vikwazo. Tutasikia mengi
 
hachezi sasa mfanyeni mnavyotaka na kumlipa mtamlipa tu. huwezi kumlazimisha punda kunywa maji hata ukiweza kumlazimisha kwenda mtoni. The white elephant in the room, endelea kumlipa wakati unaendelea kusubiri 700m. Ni wanasheria matope kabisa hao.
Hana thamani hiyo kwani kipindi wana saini mkataba kati yake na Azam ulikuwepo mpaka useme mkataba hauna thamani hiyo?
 
Sidhani kama kigezo kilichotumika ni thamani ya mchezaji

Nadhani ni kama masharti tu ambayo yaliwekwa na kukubalika na pande zote mbili.

Hii inatokana na Club kuepusha kumkosa mchezaji katikati ya msimu akiwa bado anamuhitaji, hivyo Club inaamua kuweka dau kubwa kwenye kuvunja mkataba ili ikitokea mchezaji anataka kuondoka asubiri mpaka mwisho wa mkataba wake.

Means hata Azam wangemvunjia mkataba wangelipa kiasi hicho hicho.

Saizi inaonekana sio fair ni kwasababu imetokea upande wa mchezaji.
Yes, same issue kwa sawadogo na Simba, Simba ilimpa pesa kama kwenye 700M hivi kumvunjia mkataba
 
Yes, same issue kwa sawadogo na Simba, Simba ilimpa pesa kama kwenye 700M hivi kumvunjia mkataba
Ndio inavyotakiwa.

Hapa inaonekana sio unfair kwasababu mhanga ni mchezaji lakini ingekuwa upande wa timu watu wasinge jali kabisa.
 
hachezi sasa mfanyeni mnavyotaka na kumlipa mtamlipa tu. huwezi kumlazimisha punda kunywa maji hata ukiweza kumlazimisha kwenda mtoni. The white elephant in the room, endelea kumlipa wakati unaendelea kusubiri 700m. Ni wanasheria matope kabisa hao.
Tatizo ww upo hapa unajadiliana kama mshabiki wa yanga na sio mdau wa soka.
 
Sio kweli hiyo, unataka kusema TFF na vyombo vyake ni mbumbu kiasi cha kuhindwa kulimaliza sakata la Fei TOto? sio swala la kulipa tu na kuchukua mchezaji, ingekuwa hivyo swala la fei lisingeamuliwa na Rais wa nchi. Hakuna mchezaji hapo wa 700m labda unataka kukomoa mchezaji. Hata Yanga iliwaita ofisi wale wote waliokuwa wakimtaka Fei ili wawape bei halisi ya fei lakini walikwepa na kukimbilia kwa Rais wa nchi. Fei alikaa nje mtaani hadi kiwango chake kikashuka. mara hii ni zamu ya Dube na Azam, should we expect the same to happen from the president? Wisdom should continue to prevail.
Ila we jamaa kumbe hujui kitu, hebu niambie yanga ilimwita nani kumwambia bei halisi ya fei? Nani aliitwa nimekumbia hivi thamani ya mchezaji inakuwa kwenye mkataba wake sasa fei yeye ilikuwa ni m 100 tu hela ambayo fei aliweza kuilipa,
Kipindi fei kalipa viongozi wa yanga wakapiga kelele oooh hajafuata utaratibu ooh tunaenda FIFA, sasa tff walipobugi kwa sababu ya ushabiki wanamwambia eti we fei ni mali ya yanga eti kaeni myamalize, myamalize wapi wakati mchezaji kashasema hataki kuwepo yanga, ndio hapo maza akaingilia kuwambia yanga msigombane na katoto kadogo kameshawapa chenu acheni kasepe. Sasa tofauti yenu na azam ni hii dube kaandika barua ya kuomba kuvunja mkataba kaambiwa alipe dola laki tatu asepe ..... umeshakia azam wamekimbilia tff? au fifa na mama
 
Ila we jamaa kumbe hujui kitu, hebu niambie yanga ilimwita nani kumwambia bei halisi ya fei? Nani aliitwa nimekumbia hivi thamani ya mchezaji inakuwa kwenye mkataba wake sasa fei yeye ilikuwa ni m 100 tu hela ambayo fei aliweza kuilipa,
Kipindi fei kalipa viongozi wa yanga wakapiga kelele oooh hajafuata utaratibu ooh tunaenda FIFA, sasa tff walipobugi kwa sababu ya ushabiki wanamwambia eti we fei ni mali ya yanga eti kaeni myamalize, myamalize wapi wakati mchezaji kashasema hataki kuwepo yanga, ndio hapo maza akaingilia kuwambia yanga msigombane na katoto kadogo kameshawapa chenu acheni kasepe. Sasa tofauti yenu na azam ni hii dube kaandika barua ya kuomba kuvunja mkataba kaambiwa alipe dola laki tatu asepe ..... umeshakia azam wamekimbilia tff? au fifa na mama
Azam wako very clear mwenye 300,000 Dola achukue mchezaji. Wache waamini kuwa wataanzisha zogo ili wapate kwa bei rahisi. Simba watapiga nae waanze lawama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom