Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
- Thread starter
- #41
Ndugu nimesoma sayansi ya siasa na uchumi kiwango cha juu hatua za mwanzo chini ya prof Mkandara,Samweli Mushi,Max muya ,Sirku Heltein,Mkangara na wengineo kabla ya kufanya MBA na docorate si mpuuzi mwenzio.Kila mtu sasa ni mchambuzi wa sayansi ya siasa. Matokeo yake ndio haya.