Habar zenu wanajamv,nimeongea na dada flani hv ambayo yuko fld anadai kwamba wanafunz wanaoapply second round ya tcu huwa wanakua katka risk kubwa ya kukosa mkopo.Inakaaje hii wadau? kuna ukwel wowote hapa??
Mar 11:22
"Have faith in GOD".
nimekuelewa member!! pamoja xana!!
Habar zenu wanajamv,nimeongea na dada flani hv ambayo yuko fld anadai kwamba wanafunz wanaoapply second round ya tcu huwa wanakua katka risk kubwa ya kukosa mkopo.Inakaaje hii wadau? kuna ukwel wowote hapa??
naomba nifahamishe hiyo 2nd round ya tcu ndo ikoje?
ukweli ni kwamba watu wanaoappy second round kwny tcu hawawezi kupata mkopo kutokana na majina yaliochaguliwa first selection yanaenda kwny board ya mkopo baada ya kuchaguliwa na tcu kwaiyo kuhusu mkopo never hyo ndio systm ya board wanavyofanyaga kla mwaka coz wa2 waliochaguliwa frst selectin kuna wengne watakosa kwahyo watakuwa kwnye bench la pili kwny board ya mkopo! Lakn muombeni sana mungu vjana!! Thanx
ukweli ni kwamba watu wanaoappy second round kwny tcu hawawezi kupata mkopo kutokana na majina yaliochaguliwa first selection yanaenda kwny board ya mkopo baada ya kuchaguliwa na tcu kwaiyo kuhusu mkopo never hyo ndio systm ya board wanavyofanyaga kla mwaka coz wa2 waliochaguliwa frst selectin kuna wengne watakosa kwahyo watakuwa kwnye bench la pili kwny board ya mkopo! Lakn muombeni sana mungu vjana!! Thanx
Toa upuuzi wako hapa loan haigawiwi kwa foleni,there is loan criteria,hizo ndizo zitakufanya upate mkopo na si vinginevyohata hukiapply doctor kupata n vgumu dogo
Sio sadakalawe wala nini mi na two yangu MUHAS waniteme second round nitupie UDOM nikose mkopo,nani kasema ukiona umekosa ujue;1.una point za kubahatisha 2.Course uliyochagua haina manufaa SANA kwa taifaSiyo kwel mkuu hata 2nd round unaweza kupata mkopo kama TCU watakuwa wamepeleka jina.kuna washikaji zangu walifanya 2nd aplication na wanakula mzigo wa bum kama kawa.ila waombe mungu tu coz ni sadakalawe...