Awamu dhaifu na utekaji wa wanaharakati

Fitinamwiko

JF-Expert Member
Aug 13, 2012
4,803
1,416
Tuliona gazeti la Mwanahalisi likifungiwa kwa habari ya kiuchunguzi inayomuhusu mtumishi wa serikali kushiriki kumteka Dr.Ulimboka. Tunafuatilia kesi ya mauaji ya mwandishi Mwangosi, ujanja na viinimacho vinatawali kumlinda cop killer.

Zaidi ya miezi 6 imepita kwa watuhumiwa wanaojulikana, hakuna lolote la maana likiendelea. Police wanazidi kuua raia wema, na watekaji wameibuka kumwangamiza mwanaharakati mwingine.

Uongozi DHAIFU unadhani, mbinu hii ya woga na vitisho ni mbadala kutu shut down sisi wanaharakati.
 
Tuliona Mwanaharisi likifungiwa kwa habari ya kiuchunguzi inayomuhusu mtumishi wa serikali kushiriki kumteka Dr.Ulimboka. Tunafuatilia kesi ya mauaji ya mwandishi Mwangosi, ujanja na viinimacho vinatawali kumlinda cop killer.

Zaidi ya miezi 6 imepita kwa watuhumiwa wanaojulikana, hakuna lolote la maana likiendelea. Police wanazidi kuua raia wema, na watekaji wameibuka kumwangamiza mwanaharakati mwingine.

Uongozi DHAIFU unadhani, mbinu hii ya woga na vitisho ni mbadala kutu shut down sisi wanaharakati.

Afu wanaunda tume ya wahalifu wenyewe kuchunguza matukio....
 
umenikumbusha swali,dhaifu wa kwanza na dhaifu wa mwisho nani dhaidhu sana.

Katika historia ya uraisi Tanzania ametokea DHAIFU mmoja tu, naye ni huyu dhaifu. hivi leo yupo humu nchini!??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom