Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

Yes utapeli umefanyika ofisi kwao tena msuya akiwa ndio mhusika mkuu alisema anafanyia kazi autocom kumbe alifukuzwa muda mrefu Sanaa akaniunganisha kwa meneja wa autocom nikafika ofisini tukachangua gari ss kilichotokea kumbe meneja ameweka hela kwny account yake hrf anasema amelipia tayari gari kumbe sio baada ya kuona cku zimefik za kupokea documents tunapiga cm hawapokei Wala huyo msuya nikaenda ofisini kumbe ofisi wamehamisha cm zao hazipatikani na sio wamedhurumu mteja 1 ni zaidi ya wateja 12 wote hao msuya akiwapelek kwa meneja na akichujua wanachokifanya.meneja alitoka ila alikamatwa Yuko polisi ila na msuya nae alikamatwa kwa utapeli akarudisha hela ya mteja ambae alikuwa amechukua hela.



Sent using Jamii Forums mobile app

Du hii itawavurugia sana ile kampuni.. inaelekea kwa sasa kumejaa matapeli pale, nasikia kuna dada mmoja pale nae alishawahi kukinukishwa kwa wateja akawapiga sana, hiyo niliambiwa na mfanyakazi wa pale, kajamaa flani kafupi keupe ndio kaliniambia.
Na ndio mana nilivyopeleka hiyo mada kwenye group lao aisee nilitolewa mkuku sekunde hiyo hiyo
 
AUTOCOM, HAWAFAI KABISA, WAONGO NA WAKISHAKUUZIA GARI HAWANA MSAADA WOWOTE, UKIBISHA NUNUA GARI KWAO UJIONEE,,,, WATAKUWA WAZURI KWELI WAKATI UNATAKA KUNUNUA GARI, , LIPA TUU PESA HALAFU NDIO UTAONA KAMA UKIPATA TATIZO HAWANA MSAADA,,,,,MIMI BADO NAHANGAIKA KUWATAFUTA WANANITUPA HUKU NA KULE HAKUNA MSAADA,,,,HII NI EXPERIENCE YA SASA HIVI MARCH 2019
 
Mkuu ni autocom branch ipi hapa Dar mana ziko branch tofauti. Comment yako imenipa wasi wasi mana mimi pia niko kwenye biashara nao.
AUTOCOM, HAWAFAI KABISA, WAONGO NA WAKISHAKUUZIA GARI HAWANA MSAADA WOWOTE, UKIBISHA NUNUA GARI KWAO UJIONEE,,,, WATAKUWA WAZURI KWELI WAKATI UNATAKA KUNUNUA GARI, , LIPA TUU PESA HALAFU NDIO UTAONA KAMA UKIPATA TATIZO HAWANA MSAADA,,,,,MIMI BADO NAHANGAIKA KUWATAFUTA WANANITUPA HUKU NA KULE HAKUNA MSAADA,,,,HII NI EXPERIENCE YA SASA HIVI MARCH 2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello wakuu kwa sasa sipo autocom but nafanya nao kazi kama freelancer na offisi yangu ipo QUALITY Center, karibuni sana
Kuhusu utapeli yes ni kweli manager wetu alishiriki kutapeli baadhi ya wateja wetu, nikiwepo hata mimi manager alinitapeli pesa ya mteja wangu, but mhusika mkuu yupo katika vyombo vya dola na tayari anafanya majadiliano na wale wote walichukuliwa pesa zao.

Kwa yoyote anayehitaji kuniona au kama una shida yoyote na mimi karibu offisini kwangu
Call 0767328063.
 
Hello wakuu kwa sasa sipo autocom but nafanya nao kazi kama freelancer na offisi yangu ipo QUALITY Center, karibuni sana
Kuhusu utapeli yes ni kweli manager wetu alishiriki kutapeli baadhi ya wateja wetu, nikiwepo hata mimi manager alinitapeli pesa ya mteja wangu, but mhusika mkuu yupo katika vyombo vya dola na tayari anafanya majadiliano na wale wote walichukuliwa pesa zao.

Kwa yoyote anayehitaji kuniona au kama una shida yoyote na mimi karibu offisini kwangu
Call 0767328063.

Toyota mark x zio ya mwaka 2011 itakuwa na bei gani rangi nyeusi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
AUTOCOM, HAWAFAI KABISA, WAONGO NA WAKISHAKUUZIA GARI HAWANA MSAADA WOWOTE, UKIBISHA NUNUA GARI KWAO UJIONEE,,,, WATAKUWA WAZURI KWELI WAKATI UNATAKA KUNUNUA GARI, , LIPA TUU PESA HALAFU NDIO UTAONA KAMA UKIPATA TATIZO HAWANA MSAADA,,,,,MIMI BADO NAHANGAIKA KUWATAFUTA WANANITUPA HUKU NA KULE HAKUNA MSAADA,,,,HII NI EXPERIENCE YA SASA HIVI MARCH 2019
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HELLO WAKUU
imekuwa kimya kingi sana, lakini ni sababu kichwa cha habari kinasema AUTOCOM , na sasa niliacha kazi huko kwa sasa Nafanya kazi na kampuni nyingi zaidi za kutoka japan nikiwa mwakilishi au presenter wao kwa hapa Tanzania
kwa sasa offisi zipo NHC HOUSE , SAMORA AVENUE GHOROFA YA 9 , But soon tutahamia jengo jipya la GSM MALL , SAMORA AVENUE ghorofa ya 5,
so i will update tukiwa tumeshahamia hapo , still i have a good service , nadhani kuna wanajamii forum wengine wengi tuu nimeendelea kufanya nao kazi . karibuni sana .
call \ whatsapp 0767 328 063.
i am here to serve u.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom