Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 687
Hawakosi sababu wanaposhindwa hawa, nafikiri ndio walichorithisha wanasiasa wetu wakati wa ukoloni....hovyo sana!....wanaanza visingizio, "ooooh back injury", oooh "niggling pains",...pretenders bwana,
...haweshi sababu hawa. Ngoja nikapate istaftahi sasa, jioni kuna mtanange wa kufa mtu Emirates