BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Well done Serena!..
Numero uno!!!!
... kumbe washabiki wa 'Camel-toe' wengi eeh?
I hope Murray atafungwa kesho, la sivyo 'watajiona' kama wameshinda World Cup hawa watu wa kisiwa hiki...
... kumbe washabiki wa 'Camel-toe' wengi eeh?
I hope Murray atafungwa kesho, la sivyo 'watajiona' kama wameshinda World Cup hawa watu wa kisiwa hiki...
Wanamtaja kama 'British', siyo Scottish, ila kama angekuwa from England, wangesema Englishman.
They are starved.
Go Roger!
Akichemsha ndio wanamwita Scottish....tayari yuko two sets down!Tupo pamoja kwa hilo Mosquito.
Wanamtaja kama 'British', siyo Scottish, ila kama angekuwa from England, wangesema Englishman.
They are starved.
Go Roger!
Akichemsha ndio wanamwita Scottish....tayari yuko two sets down!
Only a physically fit Nadal can beat Federer on this form. It's 3-2 to Murray in the 3rd set.
Murray still has a very long way to go before taking a grand slam, there're too many good players to compete against!Its seem Rogshee was loosing grip kwenye set ya 3, lakini huyu dogo ameshindwa ku-capitalize. Ndio hivo tena asubirie siku zijazo.
That's the end of the British hype and start of Scottish condemnation by the English press/ppl.
.... Ngoja nikapate istaftahi sasa, jioni kuna mtanange wa kufa mtu Emirates