Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,268
- 6,391
Jamani kuna fununu zimetoka hivi punde juu ya Mbilikimo Aunt Ezekiel kufumaniwa hapo majuzi. Najuwa kwa sasa hapa Bongo limekuwa ni jambo la kawaida kwa walio wengi kutoka nje ya ndoa kwani imekuwa ni fashion. Kinachonishangaza ni kwamba ni majuzi tu hapa huyu mbilikimo kaolewa (milioni 80+) na sidhani hata kama siku 30 zinafika toka afunge hiyo pingu ya maisha, yaani leo hii aje kuvuliwa chupi na jibaba wa nje tena, hata nyege hiyo nyege gani? Mademu wa kibongo bwana, kweli thamani iko chupini.