Lakini pia kamati yake ina mamlaka ya kuwaamuru walifuja mali za halmashauri wakatwe mishahara ili kufidia. Sijui amewafanyia wangapi hivyosio kazi yake kfunga watu, and how can he do that, kazi yake ni kagua mahesabu ya serikali za mitaa any problem anawakilisha bungeni,
sio kazi yake kfunga watu, and how can he do that, kazi yake ni kagua mahesabu ya serikali za mitaa any problem anawakilisha bungeni,
unakumbuka alivyomkalia kooni mkurugenzi mmoja kutoka same??alidai lazima afungwe,nafikiri ni wajibu wake
Mzee wa watu anaumwa. Mwacheni apumzike.
dogo siku nyingine ukiwa hauna cha kuchangia unafunga bakuli lako!kamfunga mkurugenzi wa halmashauri na bunge wa chadema john mrema kwenye uchaguzi2010 kwa kura nyingi sana.
huyu mzee ni mwenyekiti wa bunge kamati ya halmashauri za wilaya (naomba ni-correct kama nimekosea)
alianza kwa kasi akidai atafunga wafanyakazi wengi walioiba hela za serikali
lakini nashangaa yuko kimya,,je alifanikiwa kumfunga mtu yeyote?
Si alienda kwa babu? kwani hajapona?