Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Kampuni zote zinazojishughulisha na ukamataji na ufungaji magari yaliyoegeshwa kiholela zimepigwa marufuku kutokana na malalamiko mbali mbali ya wananchi yakiwemo ya kuharibiwa magari,rushwa pamoja na kampuni hizo kufanya kazi kinyume cha sheria.source ITV