Hewa mkaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 742
- 377
Huko Karagwe Kijiji cha Ommageyo kijana mmoja aitwaye Jackob Anacret amemuua jirani yake anayeitwa Beitwa kwa kumchoma kisu!! Inasemekana ugomvi ulianza wakati marehemu alipohisiwa kutaka kumdhulumu Anacret pesa Tsh7000 ambazo waliuziana mbwa.
* Picha ya marehemu imeondolewa
* Picha ya marehemu imeondolewa