Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,979
- 3,097
Nafarijika sana kuona mke wa ujana wangu una hofu ya Mungu.
Nimefurahi kukuona mme wa ujana wangu, mzima weye????????
Nafarijika sana kuona mke wa ujana wangu una hofu ya Mungu.
Dr. christopher Mwakasege, docta ya heshima haijaanza tanzania,hata obama anazo za kutosha,kina mugabe,zuma,bill gates,na wengi wanazo,dr moses kulola. kwahiyo vyuo husika vikichunguza na kuona mchango wake waweza mpa.tunaomba waangalie mchango wake kwa umakini.ni heshima pia. huyu mwalimu mwakasege anakiawa pekee ,na mafundisho yake anaongozwa na nguvu ya mungu. yupo nafasi ya juu zaidi ya wengi wao wanaojiita manabi sikuhizi, maana hawana la ziada la kuonesha kama ni nabii.
Mwakasege ni nani? Nisaidieni
Mwaka kesho utakuwa mchungaji naona umeshika na majina ya watu wa Mungu.Na mimi natamka damu ya yesu ikuokoe na uwe mtumishi mwema.
Wewe utakuwa umekerwa na damu ya yesu hata jina linaonekana.Mimi siwatukani damu ya yesu ni adhabu tosha kwenu.
Hivi mtu anapata wapi mamlaka ya kujiita mtume na nabii?
Au huwa nani wanawapa hayo majina? Waumini au? Naomba kujuzwa hili mkuu.
Ally Kombo chezea wengine sio Mwakasege nakupa tahadhari la sivyo muda kama huu mwakani utakuwa mchungaji.Waulize waliomletea vurugu Mwanza mashekhe na waganga sasa hivi ni wachungaji.Wewe kama unataka kuendelea na ushekhe achana na mtumishi wa Mungu.
Huyo ni mbunge ajae wa Arusha Mjini
I need that book where can I get comrade?
Natoaa wito kwa Wanazuoni, Wasomi na Wanaharakati ndani na nje ya Tanzania kwa kutambua mchango wa Mwl, hakika anastahili Ph.D ya heshima.