Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Niliwasikia baadhi ya kina mama wakiteta kuwa ukiona mwanaume anaulamba kila wakati na anajipiga vitu vya bei mbaya, basi ujue ni mkware sana.
Of course, tetesi hii ikanifanya nikumbuke 'Hillsiders' (like Law Masha, Cresentius Magori, at el) wa UDSM enzi hizo walivyokuwa watanashati na walivyowatafuna 'Hillsisters'. Hata hivyo nikabaki na shaka juu ya tetesi hii, na ndiyo maana nalileta jamvini tulijadili.
Wana JF wanaume watanashati kupindukia mnasemaje?
Wana JF wanawake mlio na boyfriends/waume watanashati kupindukia mnasemaji?
Of course, tetesi hii ikanifanya nikumbuke 'Hillsiders' (like Law Masha, Cresentius Magori, at el) wa UDSM enzi hizo walivyokuwa watanashati na walivyowatafuna 'Hillsisters'. Hata hivyo nikabaki na shaka juu ya tetesi hii, na ndiyo maana nalileta jamvini tulijadili.
Wana JF wanaume watanashati kupindukia mnasemaje?
Wana JF wanawake mlio na boyfriends/waume watanashati kupindukia mnasemaji?