maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,231
- 1,308
Things that u real don't know u just ignore them...its u to decide now.Kuna Atheists na Agnostics.
Je,unaweza kuniambia nani yupo sahihi hapo?
Things that u real don't know u just ignore them...its u to decide now.Kuna Atheists na Agnostics.
Je,unaweza kuniambia nani yupo sahihi hapo?
Wakuu salama, Kwanza kabisa nianze kwa kusema Elimu pekee ndio itakayomkomboa Mwanadamu katika sayari hii, Uwezo wa kutatua changamoto upo ndani yake mwenyewe, Hakuna Msaada wowote utakaotokea anga za juu kuja kusaidia hapa Dunia Hivyo Binadamu ni Mungu tosha kabisa ni Maarifa na yanazidi kupanuka na kukiweka Huru kiumbe Hichi, Miaka kadhaa nyuma Baadhi ya sisi atheists humu tulionekana watu wa ajabu kwa imani Yetu kuwa Hakuna Mungu, Mkuu Kiranga ana thread moja imefikisha almost 3K Comments za Believers wakimshambuliwa kwa matusi nae akiwajibu kwa hoja.
Taswira ya Jf sasa iko tofauti kabisa Watu kiukweli wametoka kwenye vifungo na kwa sasa wengi ni Free thinker ata kama Anaamini katika Mungu ila yuko tayari kusikiliza sera za wasio amini na kuchambua kidogo.
Tuliwahi ongea apa kwamba Mungu huyu tunaemsoma makanisani au Misikitini Hawezi kuwepo hata kwa bahati mbaya mana sifa tunazomjaza hayuko nazo hata punje .NakaribiSha mijadal zaidi.
Cc Free ideas Doyi Kiranga nusuhela @Areta ludovick Kifyatu
There is only one point which I real don't understand and I will not understand.... ukimkuta mkristo utamuona anatetea Dini yake umuelezi kitu na huyu amemezeshwa kutambua kwamba bible iko sahihi na si quran, ukienda upande wa pili nao utamkuta muislamu umuelezi kitu kuhusu dini yake, na yeye amemezeshwa the same way as christians hamuelezi kitu kuhusu quran na yeye atakuambia wale makafiri wanaenda motoni.... embu jiulize. How did christian choose bible over quran if the quran is the truth and why muslims choose quran instead of bible if bible is the truth.... when I think of this I always come with a conclusion that neither muslims not christians know the truth... but they have inherited what they believe from their parents. The bad thing ni kwamba dini inafundishwa ukiwa na umri mdogo mpaka ukija kuwa matured ni ngumu sana kuhoji ni ngumu sana kuelewa kwamba ulidanganywa.... u will always think ulichoambiwa ni sahihi na kitaendelea kuwa sahihi. U can not prove something happened long time ago just by reading scriptures.... how can u prove illogical arguments??? How can u prove God will use fire to punish us... and why i have to go to hell because i never pray, go to church or mosque, kama siwezi kusibitishiwa kuwepo kwa moto... why should everyone believe the existence of hell or paradise. ( je malengo ya kuishi duniani ni kuwaza imaginary things, kwamba usipoamini imaginary things unakufuru, how???) aje mtu akulazimishe uamini kwamba kuna maisha kwenye galaxies nyingine usipoamini umepotea....
Alafu kamuumba ana nguvu kuliko binadam mwenyewe.... kila mtu anaonja joto shetani.... akibaka mbuzi eti ni shetani huyo pumbavuu.Hawa watu ni wa ajabu mno, muislam akimuona mkristo anakula kitimoto anasema Satan at work,
Mkristo akimuona muislam anaoa wake wanne na kutukuza majini, anasema Satan at work,
Mkristo na Muislam wakimwona mtu asiyemwamini huyo Mungu wao, wote kwa pamoja wanasema Satan at work......Sasa kwanini Muumba wa vyote aliumba kitu haribifu kama Shetani?
Kitu kinachonishangaza eti Mungu alimuumba Lucifer akiwa na uwezo mkubwa sana kiasi cha kujaribu mapinduzi Mbinguni.Badala Mungu amwangamize, yeye alimbadilisha jina kuwa Shetani na kumtupa Duniani ili binadamu dhaifu apigane naye,.....Hivi Mungu anaelewa anayoyafanya kweli?Alafu kamuumba ana nguvu kuliko binadam mwenyewe.... kila mtu anaonja joto shetani.... akibaka mbuzi eti ni shetani huyo pumbavuu.
Uthibitisho?Bora angekuwa mbaguzi halafu awepo,.....Mungu hayupo, hajawahi kuwepo na hatokuwepo.
Kama suala la kutokuwepo mungu si nadharia tu unadhani hadi leo watu wangekuwa wanaendelea kuamini mungu?Mungu siyo kitu halisia bali ni Idea wanayorithishana baadhi ya watu.
Hivi we jamaa unajielewa kweli?......hata siku moja hujawahi kuweka msimamo wako wazi juu ya Mungu kama yupo au lah!Uthibitisho?
Unaweza kuthibitisha kuwa mungu hana hizo sifa?The same qn goes to u too.
Na Mimi sijamkataza kufikiri hivyo ila nataka uthibitisho na si fikra bila uthibitisho.Kwasababu ana uwezo wa kufikiria hivyo.... asingefikiria hivyo asingeuliza au kujiuliza.
Hujajibu nilichouliza.Things that u real don't know u just ignore them...its u to decide now.
Kama Mungu angekuwepo, pasingekuwepo na nadharia juu ya aidha kuwepo au kutokuwepo kwake.Kama suala la kutokuwepo mungu si nadharia tu unadhani hadi leo watu wangekuwa wanaendelea kuamini mungu?
Wengi humu mnabishana kimisimamo ila mi nimeomba uthibitisho.Hivi we jamaa unajielewa kweli?......hata siku moja hujawahi kuweka msimamo wako wazi juu ya Mungu kama yupo au lah!
We unasigina ya wengine kwa kuonesha double standards......Ukiulizwa Mungu yupo au lah!? unaogopa kutoa jibu la kueleweka, kwanini?
Man! you should have a firm ground for your standing,.....Je Mungu yupo au hayupo?Wengi humu mnabishana kimisimamo ila mi nimeomba uthibitisho.
umesha close mind ndugu sioni haja ya kubishana na wewe all you listen is what you want to listenNdivyo mnavyojibaragua na imani zenu, kwanza mnapingana each other.... mmepoteza uhalisia wa mambo husika. Sasa mnaabudu matakwa yenu.
sasa nijibu hoja kwenye pointlessPointless kivipi? Jibu hoja!
Mara kwa mara huwa nasema kuwa suala la mungu ni la imani,lakini huwa hamnielewi mnasema imani sio tatizo.Kama Mungu angekuwepo, pasingekuwepo na nadharia juu ya aidha kuwepo au kutokuwepo kwake.
Mbona hatuna nadharia juu ya uwepo au kutokuwepo kwa Mt. Everest?
Watu wanaoendelea kumwamini Mungu, wengi[kama siyo wote] wanafanya hivyo kwa hofu maana walishaambiwa wasipomwamini watapatwa na mabaya na mwisho wata tupwa motoni.
Cha ajabu hakuna aliyewahi kushuhudia hayo matokea ya kutokuamini kama vile Jehanamu.
......MUNGU hakumuumba shetani ili autese ulimwengu bali ni baada ya shetani kuasi ndipo laana ya MUNGU ikashuka juu yake,Hawa watu ni wa ajabu mno, muislam akimuona mkristo anakula kitimoto anasema Satan at work,
Mkristo akimuona muislam anaoa wake wanne na kutukuza majini, anasema Satan at work,
Mkristo na Muislam wakimwona mtu asiyemwamini huyo Mungu wao, wote kwa pamoja wanasema Satan at work......Sasa kwanini Muumba wa vyote aliumba kitu haribifu kama Shetani?