Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,492
- 5,829
Tangu asubuhi kumekuwa na mvua kubwa ikinyesha jijini Dar es Salaam. Huu uzi ni kujulishana athari na matokeo ya mvua hizo.
Je, ni barabara gani hazipitiki, tupite wapi? Wapi kuna mafuriko, na hatua gani tuchukue ili tuwe salama?
Tuhabarishane sisi kwa sisi.
Je, ni barabara gani hazipitiki, tupite wapi? Wapi kuna mafuriko, na hatua gani tuchukue ili tuwe salama?
Tuhabarishane sisi kwa sisi.