Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
...ATC ilikuwa na wafanyakazi 350, waliopewa barua za kuachishwa kazi ni 200 tu na hao 150 waliobaki wataendelea na ajira zao pindi huyo mchina akichukua hilo shirika...
Nilivyopata habari ni more than 150 ya wafanyakazi ndio wamechishwa kazi walio baki ni mmoja officen na mwingine uwanjani. bado nafuatilia kwa ukaribu kupata details vizuri na kuna mtu namtafuta huko Zanzibar aniambie je nako hilo tukio limetokea kwenye office za AIR Tanzania??