Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Habari zilizorufikia na zenye uhakika zinasema serikali imeagiza ndege 6 kutoka shirika la boeing
ambalo wakati wa balozi mmoja wa marekani walikja wakaongozana mpaka ikulu kwa rais
na kuelezea mikakati ya boeing iwapo watakubali kuingia nao mkataba lakini kwa kuwa boeing
awakukubali kutoa 10 percent kwa wizara hata kidogo ndipo ule uchafu wa AIRBUS ukaletwa ambao
muda si mrefu utalifikisha shirika la AIRTANZANIA kwenye matatizo ya malipo kama dowans
wakiongea kwa uwazi mmoja wa viongozi wa wizara amesema ni kweli wameagiza na hili linatarajiwa
kuletwa 4 kabla ya december na nyingine 2 kabla ya march mwakani..hata hivyo hii itategemea
na mkataba ambao kampuni ya boeing iko kwenye mazungumzo na serikali huku baadhi
ya wawakilishi wa iwzara wako marekani kwa ajili ya kumaliza mkataba huo na kusubiri ndege
Kwa niaba ya watanzania kama kweli mh nundu basi tunakupongeza lakini nisingependa shirika kubwa
kama hili kuongozwa na NDEGE 4 chini ya ACTING CEO..nilitamani kama mnaamua mteueni mteule mojakwamoja
badala ya kumuita acting na hii italeta heshima maana sasa kila cheo kitakuwa acting na hata shirika
llikileta matatizo kumbukeni amuwezi kumhoji maana ni act na amjamhizinisha hope kama mko serious
na management mpya nayo mtateua hivi karibuni
HAPPY NEW ATCL
ambalo wakati wa balozi mmoja wa marekani walikja wakaongozana mpaka ikulu kwa rais
na kuelezea mikakati ya boeing iwapo watakubali kuingia nao mkataba lakini kwa kuwa boeing
awakukubali kutoa 10 percent kwa wizara hata kidogo ndipo ule uchafu wa AIRBUS ukaletwa ambao
muda si mrefu utalifikisha shirika la AIRTANZANIA kwenye matatizo ya malipo kama dowans
wakiongea kwa uwazi mmoja wa viongozi wa wizara amesema ni kweli wameagiza na hili linatarajiwa
kuletwa 4 kabla ya december na nyingine 2 kabla ya march mwakani..hata hivyo hii itategemea
na mkataba ambao kampuni ya boeing iko kwenye mazungumzo na serikali huku baadhi
ya wawakilishi wa iwzara wako marekani kwa ajili ya kumaliza mkataba huo na kusubiri ndege
Kwa niaba ya watanzania kama kweli mh nundu basi tunakupongeza lakini nisingependa shirika kubwa
kama hili kuongozwa na NDEGE 4 chini ya ACTING CEO..nilitamani kama mnaamua mteueni mteule mojakwamoja
badala ya kumuita acting na hii italeta heshima maana sasa kila cheo kitakuwa acting na hata shirika
llikileta matatizo kumbukeni amuwezi kumhoji maana ni act na amjamhizinisha hope kama mko serious
na management mpya nayo mtateua hivi karibuni
HAPPY NEW ATCL