Heri ya pasaka!
naombeni ushauri kama ikitokea wakati unafanya mapenzi, condomu ikabaki ndani ya uke baada ya kuchelewa kuitoa!!
Heri ya pasaka!
naombeni ushauri kama ikitokea wakati unafanya mapenzi, condomu ikabaki ndani ya uke baada ya kuchelewa kuitoa!!
Wahi clinic ya karibu ikatolewe...
Lakini hii huwa inatokea kiukweli??
unaiacha humohumo ndani ili siku nyingine usiwe na haja ya kununua nyingine. Pia hii itakusaidia usiingize mimba sisizo na mpangilio. Big up. Usiitoe, iache mumo kwa mumo.