Askofu Niwemugizi: Rais atathmini msimamo suala la njaa

Pagan Amum

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
1,932
4,395
1484384834583.jpg


Hawa ndio maaskofu radical, na ambao hawaogopi kusema ukweli kuhusu jambo lolote lile katika Taifa. Wamenena ukweli kuhusu njaa na ukame.

Askofu Ngelemkutwa ameshusha waraka, naye Askofu Niwemugizi katoa waraka kupitia gazeti la Mwananchi na kutoa onyo kwa Taifa
 
Haya magazeti sijayanunua na kuyasoma kwa muda mrefu sasa kwa hiyo hata habari hii siijui kwa undani na niseme sichangii lolote mpaka iwekwe habari nzima hapa jukwaani.
Asante.
 
Baraza kuu la waislam Tanzania BAKWATA limewataka Maimamu na Mashehe katika misikiti kuwaongoza waislamu nchini kuliombea dua taifa kupata mvua pamoja na kuondoa ukame na baa la njaa lililolikumba taifa.
Chanzo: ITV
Nam tumeomba na maeneo mengi Leo yamepata vua nimuhim kumuomba mungu na kuacha kumtegemea mtu kwahiyo bakwata wako vizuri
 
Back
Top Bottom