THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,373
- 12,920
Friends and Enemies,
Hali inazidi kuwa mbaya, katika mkutano wa CHADEMA na maaskofu katika suala lao la kulumbana na serikali juu ya masuala ya bandari maaskofu wamezidi kutema kauli zao ambazo ni tatanishi.
Amesikika kwa uwazi kabisa Askofu Mwamalanga akisema kwamba wao kama maaskofu wanalijua hilo genge,kiongozi wake na kila wanachokifanya katika kumwambia Rais nini afanye na nini asifanye.
Hilo genge linakula bila kulima,bila kupanda na halina kazi yeyote.
Hilo genge ndiyo linampangia Rais fanya hiki,Rais samia unategemea nini kulietegemea genge kama hilo?
My take; Haya ndiyo madhara ya kuchanganya dini na siasa ambayo chadema wanaanza kuyavuna.
Huyu Askofu na wenzake watueleze hili genge ambalo wao wanalijua kuwa lina mpangia Rais kazi ya kufanya ni genge lipi na wao wanalijua kwa utaratibu upi.
Imefikia hatua sasa chadema na maaskofu wanaona ni jambo la kawaida kabisa kushare majukwaa ya kisiasa na kuishambulia serikali tena kwa hoja za kipuuzi kama hizi ambazo ni kama suala baya ya kuligawa taifa.
Rais Samia ni msikivu na mvumilivu sana,lakini hali hii ambayo chadema wanaendelea kuitengeneza watakuja kuvuna matunda yao na wasije wakatafuta wa kumlaumu.
Hali inazidi kuwa mbaya, katika mkutano wa CHADEMA na maaskofu katika suala lao la kulumbana na serikali juu ya masuala ya bandari maaskofu wamezidi kutema kauli zao ambazo ni tatanishi.
Amesikika kwa uwazi kabisa Askofu Mwamalanga akisema kwamba wao kama maaskofu wanalijua hilo genge,kiongozi wake na kila wanachokifanya katika kumwambia Rais nini afanye na nini asifanye.
Hilo genge linakula bila kulima,bila kupanda na halina kazi yeyote.
Hilo genge ndiyo linampangia Rais fanya hiki,Rais samia unategemea nini kulietegemea genge kama hilo?
My take; Haya ndiyo madhara ya kuchanganya dini na siasa ambayo chadema wanaanza kuyavuna.
Huyu Askofu na wenzake watueleze hili genge ambalo wao wanalijua kuwa lina mpangia Rais kazi ya kufanya ni genge lipi na wao wanalijua kwa utaratibu upi.
Imefikia hatua sasa chadema na maaskofu wanaona ni jambo la kawaida kabisa kushare majukwaa ya kisiasa na kuishambulia serikali tena kwa hoja za kipuuzi kama hizi ambazo ni kama suala baya ya kuligawa taifa.
Rais Samia ni msikivu na mvumilivu sana,lakini hali hii ambayo chadema wanaendelea kuitengeneza watakuja kuvuna matunda yao na wasije wakatafuta wa kumlaumu.