JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
wamelawiti weeee mpaka wamechoka, wamefisadi weee mpaka wameubariki ufisadi nawachukia sana wapiga got nawaita eee bwana mungu wakati ni wezi, walawiti, mafisadi na sasa wamekuwa fraud bora mimi ninaye swali saa ya kula, kulala, kuamka na kuzika wafu basi.
maajab haya yako tanzania tu. sijui huwa wanaubiliana nini lile dhehebu lonaloimiliki hii benki ya kusaidia wizi aka money laundering. au husifiaana kwa kuraise deposit pia kupiga dili likatiki??
katika ufisad huu wa escrow. busara ni watanzania kuzisusa hizi benki kajanja zinazosaidia mafisadi. roman catholics inawahusu hili benki yenu imafacilittate wizi. money laundering. halafu unaingia church na bonge ya biblia kumbe benki yako ni benki fisadi. ppfffuuuu