The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,536
Video imebeba ujumbe wote.
Hapa chini akimjibu Spika na barua yake ya wito kumtaka atokee mbele ya kamati ya maadili, kinga na haki ya Bunge la JMT...
Amesema, atakwenda Dodoma kesho J'3 tarehe 23/8/2021 kama barua inavyosema.
Aidha kasema haogopi chochote, hayumbi ktk misimamo yake bila kujali chochote na daima atasimama katika kweli na sasa atakwenda kusema na mengine ambayo hata hatujawahi kuyasikia.
Hapa chini akimjibu Spika na barua yake ya wito kumtaka atokee mbele ya kamati ya maadili, kinga na haki ya Bunge la JMT...
Amesema, atakwenda Dodoma kesho J'3 tarehe 23/8/2021 kama barua inavyosema.
Aidha kasema haogopi chochote, hayumbi ktk misimamo yake bila kujali chochote na daima atasimama katika kweli na sasa atakwenda kusema na mengine ambayo hata hatujawahi kuyasikia.