Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Yanatoana menoNaona maccm mnaparuana
Yanatoana menoNaona maccm mnaparuana
Sasa kama anaumwa na amelazwa atatokaje kujieleza?Na yeye ni binadamu kama wengine, ikiwa amelazwa, anaumwa au vyovyote vile ajitokeze aseme, kama kuna neno lisemwe.
Hivi mnadhani Mbowe ni robot ambayo haiwezi kuumwa?Daa aisee no kweli kabisa hata mimi napata mashaka kidogo na afya ya mbowe hajaonekana muda mrefu sana pia kwenye misiba yote iliyotokea hajatokea kabisa
Mbowe kuishikisha adabu CCMAskofu kama Askofu. Fitina kwake mwiko
Kwanini usifiche huo umbumbumbu wako?Ficha ujinga wako
AminaMungu amjalie afya njema arudi aungane na familia yake
Sahihi kwani hakuna mwanadamu asiyeumwaSi Ajabu kuumwa kwa mwanadamu. Ajabu ni ile kuumwa alafu chadema waseme haumwi. Kama ile maiti iliyotangazwa ipo ofisini inapiga kazi
Mbowe yuko wapi?
Hongera sana mkuu kwa majibu mazuri kwa huyo MATAGA wa LumumbaStupid !!, kwani Mbowe ni Rais wa nchi hii hadi tutangaziwe kama anaumwa??!!--- hayo ni mambo ya ndani ya Chama chake.
Pumbaf,fiatilia misiba ya kwenu hukoAnaongoza taasisi kubwa yenye wafuasi wengi ndani ya nchi na nje hapo ndipo umuhimu wake unapokuja!
Account ya MATAGA wanataka kuhamisha magoliWajinga wako wengi Sana hiyo ni account fake nashangaa watu mnarukia treni Kwa mbele
Mbona wewe hukumkataa wa kwenu?Hahah
Ufipa wataanza kumkataa
Kwa mara ya kwanza umeongea kama mwana siasaKusema kweli kama Mbowe anaumwa namuombea kwa Mungu apone ili aendelee na maisha yake kama kawaida!
Mbowe ni mmoja ya watu ninao wakibali sana tena sana kutoka upinzani ni mtu aliyejaa utu wa hali ya juu na mtu mwenye hekima sana tena sana....
Mimi naamini kama anaumwa atapona na atarudi!
Wewe wa kwenu yupo wapi?Yupo wapi chairman!
Hayanaga akiliMATAGA wamelishwa matango pori.
Anafuatilia mafaili mengi sana yapo mezani kwakeUmewahi kumuona Kariakoo au Magomeni akitangatanga?
Vichaa ni pamoja na wewe mganga njaaa wa Lumumba
Kama nyinyi alilokuwa anasema jiwe sawaaa malaikaNyie lolote analosema LISU sawaa
Sasa yupo mama wa kazi hawataki wambea na wanafiki kama nyinyiNyie lolote analosema LISU sawaa