Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Askari polisi wa usalama barabarani huko Mbeya leo asubuhi amempiga na kumjeruhi raia kwa spana baada ya mabishano ambapo askari alimsimamaisha jamaa na kudai leseni. Jamaa alidai hana leseni na akamuomba askari amuandikie kosa halafu ataenda kuripoti kituoni baada ya kufuata leseni aliyoicha nyumbani. Swali hivi ni sawa kweli kwa polisi kumthibiti raia kwa kupika na kumjeruhi vibaya kichwani? Afande Mwema na Afande Adv. Nyombi mpo?