Aliulizwa hao wanaochoma makanisa ni watu gani, lakini mkuu akawa hasikii kwenye radio call due to kelele za ving'ora, ikabidi atoe ishara ya vidole viwili.
Nilikuwa na-browes nikiwa kitandani yaani umenifanya nilazimike kuamka baada ya kucheka saaaaaaaaaana hadi kupaliwa. Ila tunao wengi sana wana cdm, hawajitokezi kutokana na kulinda mkate wao wa kila siku, mfano mzuri ni pale police mecy IRINGA ambapo uchaguzi wa 2010 asilimia 95 ya askari na familia zao walichagua CDM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.