Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Akihojiwa na Radio One kwa nini asijiuzulu kamanda wa polisi Iringa Kamuhanda alijibu kwa kujiamini kuwa hawezi kujiuzulu kwani alikuwa akitekeleza sheria inayotaka CDM watii sheria bila shuruti. Hii inaweza kuwa na maana kadhaa:
1. Askari aliyeshitakiwa anaonewa kwani alitekeleeza sheria
2. Mwangosi alikuwa akivunja sheria wakati anafanya aliyokuwa akifanya
3. Tume ya Nchimbi ni kiini macho hakuna chochote kitakachofanyika
4. Kufungua matawi ya vyama vya siasa ni kosa kwa mujibu wa sheria anayozungumzia Kamuhanda na atakayefanya hivyo anastahili adhabu ya kifo
5. Sheria za nchi zinaruhusu mauaji ya watu wanaovunja sheria za mikusanyiko kinyume na sheria
6. CHADEMA ijiandae kwa mauaji zaidi na waandishi wajiandae kwa kuuliwa zaidi na jeshi la polisi kwani hawavunji sheria yoyote
7. :.:.........
1. Askari aliyeshitakiwa anaonewa kwani alitekeleeza sheria
2. Mwangosi alikuwa akivunja sheria wakati anafanya aliyokuwa akifanya
3. Tume ya Nchimbi ni kiini macho hakuna chochote kitakachofanyika
4. Kufungua matawi ya vyama vya siasa ni kosa kwa mujibu wa sheria anayozungumzia Kamuhanda na atakayefanya hivyo anastahili adhabu ya kifo
5. Sheria za nchi zinaruhusu mauaji ya watu wanaovunja sheria za mikusanyiko kinyume na sheria
6. CHADEMA ijiandae kwa mauaji zaidi na waandishi wajiandae kwa kuuliwa zaidi na jeshi la polisi kwani hawavunji sheria yoyote
7. :.:.........