Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Kwenye wavuti ya Bunge la Tanzania kuna sehemu ya kumuuliza Spika:
ASK THE SPEAKER
Hon.Samuel Sitta(MP)
Online interactive forum with the SPEAKER
Cha kushangaza nimemwandikia Spika na kuwa na "Online interactive forum with the Speaker" lakini bila mafanikio! Sasa tuseme huu ni usanii au namna gani? Kwa nini waweke huduma kwenye wavuti ambayo haipo?
ASK THE SPEAKER
Hon.Samuel Sitta(MP)
Online interactive forum with the SPEAKER
Cha kushangaza nimemwandikia Spika na kuwa na "Online interactive forum with the Speaker" lakini bila mafanikio! Sasa tuseme huu ni usanii au namna gani? Kwa nini waweke huduma kwenye wavuti ambayo haipo?