Asilimia kubwa ya wanawake wa mijini wanajiuza ila wanabagua dau na mazingira ya kujiuzia

Sijakuelewa mleta mada usema hayo ktk misingi ya utafiti? Au Uzoefu? Au kutegemeana na nini? Watu huwa hawajisemei tu toka hewani ni lazima hoja yako ijengwe Kwenye msingi flani Kwa mfano taarifa za takwimu mbalimbali n.k na pia ningependa kujua Kama ni utafiti Kwa mfano unapaswa kusema ni hisani ya akina Nani mfano : Twaweza, Redent n.k! Kama wanawake wanajiuza kirahisi hivyo basi na upande wa wateja ( wanunuzi wa huduma/ bidhaa) Yani wanaume basi nako kutakuwa na tatizo vilevile!
Vyote utafiti Na uzoefu
 
Usishangae sana mkuu kupenda vya bure ni asili yao hasa wanawake wa kiafrika. Hata liwe na mshahara mkubwa kiasi gani bado litataka vya bure. Ndio maana yanaachia hata 0712/3/4... ili tu yabureke.
 
Unasema Mil.5 na kinga juu!!!
Hata laki kavu kavu nakupa nini 5M
Napaka asali, UKIMWI nitausikia kwenye bomba.

Kiukweli mie mbele ya pesa, nakuwa zaidi ya Malaya.
Sema tu sijipangi Jolly au Corner.
Ila ukiingia kwenye 18 zangu SIKUACHI, maadam sijazaliwa na wewe tumbo moja.
 
Unasema Mil.5 na kinga juu!!!
Hata laki kavu kavu nakupa nini 5M
Napaka asali, UKIMWI nitausikia kwenye bomba.

Kiukweli mie mbele ya pesa, nakuwa zaidi ya Malaya.
Sema tu sijipangi Jolly au Corner.
Ila ukiingia kwenye 18 zangu SIKUACHI, maadam sijazaliwa na wewe tumbo moja.
Msema kweli kuhusu uzinzi ni mapenzi wa Mungu sema mama laki kavukavu welldone kwa kua mkweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom