Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Kweli yaweza kuwa radio ya wafu,ila mkuu,hiki kipindi wamehojiwa waTZ wanaoishi huko.. Mmoja amedai kumpa kijana mkazi wa kinondoni nauli ya kurudi bongo..
mahojiano na hao watz wanoishi huko ugaibuni yanatosha kureport kuwa ni asilimia 85 wanafanywa mchezo huo??