Asilimia 15 ya Bodi ya Mikopo kuanza kukatwa kwenye mshahara ghafi(basic) kuanzia mwezi Januari

Bora tulio somea hela zetu za kuunga unga hvyohvyo tulamaliza hayo tunaona kama hadith
 
Halafu pia wanawalazimisha na kuwatishia waajiri wawakusanyie izo pesa zao kama vile kuna mkataba kati yao..
 
Tatizo hatuungani kila mtu huona la mwenzake halimuhusu....
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu ni adui wetu mkubwa , tuna wahitimu mawakili na wanasheria lakini watakaa mbali ama kwa kupuuza tuu au kwa kuhisi hata akijatwa hiyo 15% haitoathiri kwa kiwango kikubwa uchumi wake.

Kutengana kwetu kutaongeza unyonywaji wa vilivyo haki yetu.



Dunia Uwanja wa Fujo
hao hao unawataja wanasheria wengi wao hawakupewa mkopo chuoni walisomeshwa na familia zao sasa wakati ww unakula bata na mkopo wako yy aliwaza atapata vip ada sasa leo ni zamu yake na yy.
waswahili wanasema mchuma janga hula na wakwao
 
hao hao unawataja wanasheria wengi wao hawakupewa mkopo chuoni walisomeshwa na familia zao sasa wakati ww unakula bata na mkopo wako yy aliwaza atapata vip ada sasa leo ni zamu yake na yy.
waswahili wanasema mchuma janga hula na wakwao
Wewe udsm wanasheria walipewa mikopo kabisa labda vilaza.....

Lakini waliokuwa na Division 1 point 3,4,5,6 wengi marafiki zangu HKL walipewa kabisa mikopo pale.....

Tatizo hili ni la kisiasa kabisa haiwezekani Rais hata mshahara wake kodi halipi lakini anakomalia wananchi tena wenye kipato cha mwisho kabisa.....
 
mkome tena naombea angeweka 30%, s nyie mwajifanya mnaushabiki wa vyama badala ya kuangalia ukweli

go go go ccm

go go go go magu, mpaka wapate akili
 
Tulikataa elimu bure hadi chuo kikuu, kufuta madeni ya wadaiwa wa bodi. Sasa tunalalamika nini.

Note: wao walisoma bure kipindi cha nyerere na mwinyi
 
Kwa hvo unapendkeza wakatwe sh. Ngapi ili wasiwe wajinga....mfano mtu anaelipwa laki 7...akikatwa 15%=105000....je kipind unapewa mkopo kwa muda wa miezi miwili ulipewa sh ngap....maana unatakiwa ulipe deni haraka ili ubaki kua salama....

Unajua maana ya mkataba au umejiandikia tu?
 
Let us select a focal point ili wote tuloathirika tuandamane kupinga hili. Ni ujinga huu serikali wanafanya
2020 hatutafanya kosa
 
hao hao unawataja wanasheria wengi wao hawakupewa mkopo chuoni walisomeshwa na familia zao sasa wakati ww unakula bata na mkopo wako yy aliwaza atapata vip ada sasa leo ni zamu yake na yy.
waswahili wanasema mchuma janga hula na wakwao
Hahaaaaaaa! umenichekesha sana eti kula bata.....
Na tutatawaliwa badala ya kuongozwa milele kwani utengano wetu ndiyo silaha ya watawala kutawala.
Kesho wakinyanyaswa wanasheria watu wa kada nyingine watawacheka kama walivyowacheka walivyokuwa wanahangaika kupata mikopo.
Waandishi wa habari wakinyanyaswa wanasiasa watawadhihaki na kinyume chake , hiyo ndiyo raha na faraja ya watawala.

Ila ndugu unaonaje hao wanasheria wachache waliobahatika kupata mikopo wakaungana na watu wa kada nyingine kuokoa jahazi?


Dunia Uwanja wa Fujo
 
Kwa hvo unapendkeza wakatwe sh. Ngapi ili wasiwe wajinga....mfano mtu anaelipwa laki 7...akikatwa 15%=105000....je kipind unapewa mkopo kwa muda wa miezi miwili ulipewa sh ngap....maana unatakiwa ulipe deni haraka ili ubaki kua salama....
Na anaye lipwa lak 4 na makato mengine ya kodi na nssf unafikiri atabakia na nini? Tumia akili acha hizo
 
Alitoa miahadi kibao,alidhani bajeti ya nchi ni kama wizara,alizoea akiwa waziri anapeleka bajeti anapewa hela,sasa atafute yeye na ndo maana anatukamua hadi tone la mwisho...ana roho ngumu huyu mzee hatari
 
Wafanyakazi tunaelekea kuadhirika, bado kidogo tutaanza kuvaa "yeboyebo" makazini. NO INCREMENT BUT HIGH HESLB LOAN DEDUCTION
 
15% kwa basic salary lazima yawepo maombolezo.Siyo mchezo hii sheria itaua watu maana kuendesha familia lazima kuwe kwa kugumu sana.

Kama Asilimi 8% kulikuwa na changamoto sembuse hii 15%?
Kuna hatari watu kushindwa kufanya kazi maana stress kwenye ubongo WA walio wengi zitawamaliza.
 
Wafanyakazi tunaelekea kuadhirika, bado kidogo tutaanza kuvaa "yeboyebo" makazini. NO INCREMENT BUT HIGH HESLB LOAN DEDUCTION
Mkuu hahahahahaaaa uliposema tutavaa YEBOYEBO KAZINI utaniua kwa kicheko japo na mm mwez huu ntajuta ila nimecheka sana
 
Back
Top Bottom