Hakuna kitu kama hicho, isipokuwa ukiwa na hela heshima ya ukweli lazima iwepo!! Mzazi hawezi kumpa shikamoo mtoto hata siku moja
We Mchagga ikiyezaliwa magorofani hata kijiji chenu hukijui ni bora kukaa kimya....
Demu wangu huwa ananiambia shikamoo..naitikia basi tu!!
Refer chei chei kwa watoto na wanawake pande za zenji!kila kitu ulichoandika hapo juu umepatia.ni neno la kitumwa kweli lakini ndio hivyo mababu zetu kwa kupenda umwinyi wakaliendeleza tu.mara nyingi mimi huwa nalikuwepa neno hilo kwa kutumia "asalam aleykum".
Ok inajulikana kuwa shikamoo ni salaam unayompa mtu aliyekujizi umri (sifahamu kama kuna age limit) Ila Kuna wababa wengine especially binti wa kike akimwambia shikamoo humjibu "salama tuu binti hujambo".And why is that?.