Good point. Umejibu vizuri na umeeleweka. Ila kwa sababu zisizo na msingi kwenye S umeweka X nimekupuuza.
Mkuu, kwenye Kiswahili hatuna herufi "X" lakini nashangaa matumizi yake ktk Kiswahili yameshamiri sana. Kwa kifupi inakera nami nakereka na matumizi haya.