mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,330
- 4,853
Ningekaa Tanzania pekee ningesema asili ya mtanzania ningetembea Afrika pekee ningesema asili ya muafrika, basi katika kukaa na binadamu tofauti tofauti
Nikaja kugundua kumbe mwanadamu ni kiumbe chenye tabia ya uovu ambao upo ndani yake tokea kuzaliwa kwake, na ndio maana leo hiyi rafiki yako au jirani yako akikuzidi kwenye kitu au jambo flani utajikuta asili yako inakulazimisha yaani utake, usitake utajizuia kumuonesha una usnichi kwake ila si ndani yako kujizuia
Utajikuta tu unaka wivu flani hivi kakutamani mwenzako aporomoke tuache hilo leo hiyi ukimtendea mtu mema mia ukaja ukafanya baya moja basi hilo baya moja litafunika mema mia zote ulizomfanyia nini tafsiri yake ni kwamba ni kama chui kudhurura mjini huku makazi yake ni porini lazima watu wamshangae na ndio maana leo ukitaka umaarufu wa haraka iwe mtaani kwako kijijin kwenu nk ukifanya jambo baya lazima uwe trending kwasababu utakuwa umerudi kwenye ule uhalisia wake kila binadamu ni muovu.
Ndio mana vyombo vya habari hutoa taarifa
Nikaja kugundua kumbe mwanadamu ni kiumbe chenye tabia ya uovu ambao upo ndani yake tokea kuzaliwa kwake, na ndio maana leo hiyi rafiki yako au jirani yako akikuzidi kwenye kitu au jambo flani utajikuta asili yako inakulazimisha yaani utake, usitake utajizuia kumuonesha una usnichi kwake ila si ndani yako kujizuia
Utajikuta tu unaka wivu flani hivi kakutamani mwenzako aporomoke tuache hilo leo hiyi ukimtendea mtu mema mia ukaja ukafanya baya moja basi hilo baya moja litafunika mema mia zote ulizomfanyia nini tafsiri yake ni kwamba ni kama chui kudhurura mjini huku makazi yake ni porini lazima watu wamshangae na ndio maana leo ukitaka umaarufu wa haraka iwe mtaani kwako kijijin kwenu nk ukifanya jambo baya lazima uwe trending kwasababu utakuwa umerudi kwenye ule uhalisia wake kila binadamu ni muovu.
Ndio mana vyombo vya habari hutoa taarifa