Nadhan sasa niwakat muafaka kwa aliekua naibu wa katibu mkuu wa UN kutumikia taifa lake
Nadhan sasa niwakat muafaka kwa aliekua naibu wa katibu mkuu wa UN kutumikia taifa lake
Katiba ya nchi haimruhusu Dr Migiro kuwa Waziri Mkuu kwa sasa, kwasababu, Katiba inatamka bayana kwamba Waziri Mkuu atatoka miongoni Wabunge wa Kuchaguliwa Kutoka Jimboni. Wabunge wa viti maalum, au wa kuteuliwa na Rais hawawezi kushika nafasi hiyo. Hivyo mjadala huu hauna tija!
Nadhan sasa niwakat muafaka kwa aliekua naibu wa katibu mkuu wa UN kutumikia taifa lake
toa sababu..hatutaki uje na hoja "eti kwa sababu ni mwanamke!" Hii nchi yetu imeshanyiwa majaribio sana!!!