Watu wanasema kuwa kila kitu ukiwa unafanya lazima kiwe na Malengo, Nimekuwa mdau kidogo wa kuangalia MOVIE za muendelezo. Asilimia nyingi ya hizi movie zinafanikisha kazi za kupendwa lazima awepo MSALITI ili starling afanikishe mission au mlengwa apewe kibano cha nguvu. Sasa kwa jinsi ninavyoichukia ccm na kutofungamana na chama chochote napenda sana hao wanaovujisha siri waendelee. Ujue move ya kuwakwangua hao magamba inafikia ukingoni ambapo starling(watanzania watashinda tuu muda si mrefuuuuu)