mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Halafu ieleweke kitu kimoja zzk alienda mahakamani Siyo kuishitaki CDM,lengo ni kuweka pingamizi asijadiliwe na CC Hadi kesi ya msingi isikilizwe hata hukumu inasema hivyo hivyo wamezuia uanachama wake usijadiliwe Hadi kesi ya msingi isikilizwe