uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,794
- 26,790
Wakuu,
Jana Lema alikiona cha mtema kuni baada ya kuwashambulia wazee wa kubeti.
Wana walimvamia kwenye tweet yake hadi akaifuta. Na aliifuta ndani ya dk 20 tu baada ya kuona vita haiwezi.
Betting iachwe ilivyo. Isiguswe. Na hatuachiView attachment 2538056
Alichosema ni kweli hata kama wamemshambulia