Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Akihojiwa na capital Radio Godless lema amesema kuna wenyeviti wa vitogoji 16 hapa mjini Arusha wanamsubili ali warudishe kadi za CCM kujiunga na chadema. Tanzania tujiandae kwa chaguzi mbali mbali pengine hata uchaguzi wa raisi unaweza kufanyika karibuni maana kuna kila ishara kuwa hata Kikwete ana tamani kuhamia CHADEMA.
wakati huo huo
===========
wakati huo huo
===========
Wanachama wa ccm wakiwemo wenyeviti 2402 wa vitongoji vitano wilayani ngorongoro, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na chadema,na tayari wamebwaga kadi zao za ccm katika ofisi za chadema zilizopo wilayani humo na kukabidhiwa za chadema.
Tarifa hiyo imetolewa na katibu wa chadema mkoa wa Arusha Amani Golugwa.