Nkobe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 2,162
- 3,162
Mirija gani, ya.Mbowe kuwauzia mafuso na maspika mabovu au ule wa Slaa kukopeshwa na chama mamilioni bila utaratibu na hadi leo hajalipa!
Hayo wayasema weye, sisi wanachama hatujawahi kuyaona
Mirija gani, ya.Mbowe kuwauzia mafuso na maspika mabovu au ule wa Slaa kukopeshwa na chama mamilioni bila utaratibu na hadi leo hajalipa!
Mbowe ni tapeli.na watakuja kumstukia wakati ambapo hawatakuwa na uwezo wa kumuondoa. Serikali gani itakuwa haina kodi!
Enkima, siyo mtu mzima kiumri tu, wengi wa hawa ndio viongozi ndani ya chama na serikali. Hebu fikiria kwa mfano wale wajumbe wa BMLK waliopitisha katiba ya Chenge/Sitta! Ndio wa aina hii haswaaa! Ulafi haukuwaathiri kiafya tu, umewaathiri sana kiakili. Genge hilo la walafi akiwemo mansoorsaid, ndilo limekamata madaraka ya nchi hii...ni sawa na fisi kupewa jukumu la kulinda bucha! Nakuapia wakimaliza mizoga yote waliyotakiwa kuilinda, wataanza kuparurana na kutafunana wenyewe kwa wenyewe na hawatakuwa na shida ya kutambuana; ni kwa kuangaliana midomo tu! Kila mdomo lazima utakuwa na alama ya damu.Yaani huwezi amini aliandika haya ni mtu mzima kiumri ila mashaka yanabaki tu kwa uwezo wake wa kiakili
Mirija gani, ya.Mbowe kuwauzia mafuso na maspika mabovu au ule wa Slaa kukopeshwa na chama mamilioni bila utaratibu na hadi leo hajalipa!
Chadema mti gani wa matunda wakati majambazi kupindukia ukabila ndiyo mahala pake pale chadema.
Ukabila kwa chadema upo wazi sana lakini kuwapa nchi hatuwezi jamaa ni wezi na wakabila kweli hawafai kabisa.