CCM inaelekea kubaya zaidi na zaidi kila kukicha. Hapa Dodoma,Waziri Sophia Simba anahaha kukusanya na kusafirisha makada na wananchi wa kawaida kwenda Arusha. Wasafirishwa wanapewa sh.30000 na watakapofika Arusha malipo mengine yatafanyika.
Kesho,Ndugu Edward Lowassa anatangaza nia ya Urais huko Arusha. Sophia Simba anawasafirisha watu mchana wa leo kwenda Arusha,kutoka hapa Dodoma kwenda kwa Lowassa. Pesa inamwagwa vilivyo.
Hivi ndivyo uungwaji mkono unavyopaswa kuwa? Lowassa anaendelea kujidhihirisha jinsi asivyofaa kwa kutaka kuununua Urais. Fisadi aogopwe kama acid!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kanda ya Kati)
Lowasa na wapambe wake ni janga la taifa.Hawa watu wananunua ikuru kwa pesa zao walizopata kwa wizi.Lowasa vijana tumkatae tumzomee kwa kumuita fisadi fisadi na kumtupia makopo.Nyerere alikomboaa nchi angali kijana sisi ni wakati wetu kukomboa nchi kutoka mikononi mwa gamba gumu na fisadi la kimataifa