mi ntmleta bro wangu cheche sema nowdayz amedata flan so mtamsamehe
spark mbwa classmate wangu since Meru primary Arusha sec tukahamia wote old moshi.... Chalasi imemuharibu ganja za kugongea sio issue alivuta ganja iliyokuwa mixed na cocktail ila still kichwa chake kiko poa bado anatunga lyrics Kali...nafkir kwenye sherehe Malamshaaa atamualika Spark na kundi lake KID CAN KILL (KCK)Spark dog yuko sawa hata jana nilikua naye, na sasa ana mke na watoto wawili, mmoja anaitwa bronx na mwingine broklyn.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums