RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Shule ya Sekondari karatu ambayo ni Advance, imeingia katika mgomo baada ya kutopata suluhisho la kupatikana kwa maji, Kwa takribani miezi 5 toka mwezi wa 6 mwaka huu..
Wanafunzi pamoja na serikali yao waliamua kuongea na bodi ya shule pamoja Na D.O wa Karatu tarehe 7 siku moja kabla ya 2kio, wakaahidiwa maji yatakuwepo siku hiyo kuanzia saa 11 jioni pia kesho. Imefika sa 11 maji hayakuwepo kesho yake tareh 8 maji hakuna..
Wanafunzi viongozi wote na Wanafunz wengne ndipo walipoandamana kwenda kwa Mkurugenzi. Ndipo wanakutana na vugu la polisi na kupigwa mabomu ya machozi, kutokana na wingi wa wanafunz ambao walijigawa katik makundi mawili, polisi wakashindwa kuwadhibiti mana hawakuwa wengi [defender 1 ya polis ndo ilikuja].
Wanafunzi walikuwa 600 na ushee, ambao baadh walifanikiwa kufika kwa mkurugenzi baada ya Polisi kuchanganywa na makundi mawili tofauti, walipofka ofisini, ndipo baadhi ya wanafunzi wakashikwa na kupigwa na polisi pale ofisini na kurundikwa kituo kidogo cha polisi pale Karatu, hawakufanikhwa kuongea na mkurugenzi ndipo wakaamrishwa kurudi shule wakisindikizwa na polisi.
Ndipo Mwenykiti wa Bodi ya shule kaamua kuifunga shule kwa mda usiojulikana.. Wanafunzi sasa hivi tunaondoka mwisho saa mbili asubuhi leo hii.
Matatiz mengine ni pamoja na boharia kuchakachua chakula cha shule na Wizi wa sukari na Mafuta ya kupikia.
Mimi mwenyewe mhanga wa tukio hili kama mwanafunzi.
Wanafunzi pamoja na serikali yao waliamua kuongea na bodi ya shule pamoja Na D.O wa Karatu tarehe 7 siku moja kabla ya 2kio, wakaahidiwa maji yatakuwepo siku hiyo kuanzia saa 11 jioni pia kesho. Imefika sa 11 maji hayakuwepo kesho yake tareh 8 maji hakuna..
Wanafunzi viongozi wote na Wanafunz wengne ndipo walipoandamana kwenda kwa Mkurugenzi. Ndipo wanakutana na vugu la polisi na kupigwa mabomu ya machozi, kutokana na wingi wa wanafunz ambao walijigawa katik makundi mawili, polisi wakashindwa kuwadhibiti mana hawakuwa wengi [defender 1 ya polis ndo ilikuja].
Wanafunzi walikuwa 600 na ushee, ambao baadh walifanikiwa kufika kwa mkurugenzi baada ya Polisi kuchanganywa na makundi mawili tofauti, walipofka ofisini, ndipo baadhi ya wanafunzi wakashikwa na kupigwa na polisi pale ofisini na kurundikwa kituo kidogo cha polisi pale Karatu, hawakufanikhwa kuongea na mkurugenzi ndipo wakaamrishwa kurudi shule wakisindikizwa na polisi.
Ndipo Mwenykiti wa Bodi ya shule kaamua kuifunga shule kwa mda usiojulikana.. Wanafunzi sasa hivi tunaondoka mwisho saa mbili asubuhi leo hii.
Matatiz mengine ni pamoja na boharia kuchakachua chakula cha shule na Wizi wa sukari na Mafuta ya kupikia.
Mimi mwenyewe mhanga wa tukio hili kama mwanafunzi.