Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Ile ban nlojipiga,
Nkaenda zangu Arusha,
Nkakutana na Preta,
Sweetlady Wiselady,
Lily Flower na nani?
Blaki Womani mweupe
Arusha ntarudi tena walah........
Nikanywa na PakaJimmy
Liverpool na Filipo,
Mzee Wa Rula Pembeni
Voice of Reason ikaja
Na mwingine nani tena? Hivi nimesema binamu?
MTK bar na Mianzini
RIP Makaburini,
Shivaz na Picnickini
Kijenge Kaizarini
Kwa Mromboo hatarini.....
Na kwingine wapi tena? Sijasema tripo Ei?
Nikilila tena ban. nikapata na nauli,
Kamwe siendi nyumbani, na kitandani silali.
Arusha nitarudi, nrarudi tena wallah.
Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Mungu ibariki Arusha.
Wabariki na watu wake.
Amina.
ODM anarudi kitandani kuzimua
Nkaenda zangu Arusha,
Nkakutana na Preta,
Sweetlady Wiselady,
Lily Flower na nani?
Blaki Womani mweupe
Arusha ntarudi tena walah........
Nikanywa na PakaJimmy
Liverpool na Filipo,
Mzee Wa Rula Pembeni
Voice of Reason ikaja
Na mwingine nani tena? Hivi nimesema binamu?
MTK bar na Mianzini
RIP Makaburini,
Shivaz na Picnickini
Kijenge Kaizarini
Kwa Mromboo hatarini.....
Na kwingine wapi tena? Sijasema tripo Ei?
Nikilila tena ban. nikapata na nauli,
Kamwe siendi nyumbani, na kitandani silali.
Arusha nitarudi, nrarudi tena wallah.
Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Mungu ibariki Arusha.
Wabariki na watu wake.
Amina.
ODM anarudi kitandani kuzimua